Tovuti rasmi ya serikali ya Marekani

Mashambulizi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kabul

Tuzo

Hadi dola milioni 10

Fanya jukumu lako.

Kuhusu

Tuzo kwa Mahakama inatoa tuzo ya hadi dola milioni 10 kwa taarifa kuhusu waliohusika na shambulio la kigaidi la Agosti 26, 2021 katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kabul, Afghanistan. Mlipuaji wa kujitoa mhanga alishambulia uwanja wa ndege huku Marekani na serikali nyingine zikichukua jukumu kubwa za kuhamisha raia wao na Waafghanistan waliokua hatarini. Takriban watu 185 waliuawa katika shambulio hilo, wakiwemo wanajeshi 13 wa Marekani waliokua wanasaidia na shughuli za kuwahamisha. Zaidi ya watu 150, ikiwa ni pamoja na wanachama 18 wa huduma ya Marekani, walijeruhiwa. ISIS-K, ambalo ni Shirika la Kigaidi la Kigeni lililoteuliwa na Amerika, lilidai kuhusika na shambulio hilo.

Picha:

Mabango

Mahali Kunakohusiana:

Afuganistani

SUBMIT A TIP

Do Your Part. Secure a Safer World.

There are many ways to submit information to Rewards for Justice.

You may choose from multiple platforms and contact us in numerous languages. To process your information efficiently, we ask you to state your information as succinctly as possible, provide your name, location, and preferred language, and upload all relevant files such as photographs, videos, and documents to support your information. An RFJ representative will soon contact you. Please be patient, as RFJ reads every tip we receive.

Please visit our Tor-based tips-reporting channel at: he5dybnt7sr6cm32xt77pazmtm65flqy6irivtflruqfc5ep7eiodiad.onion

Wasilisha Kidokezi

Fanya Jukumu Lako - Dhamini Ulimwengu Salama Zaidi

Zipo njia nyingi kuwasilisha kidokezo.

Unaweza kuchagua kutoka majukwaa mengi na kuwasiliana nasi katika lugha nyingi.
Kuchakata taarifa yako kwa ufanisi, tunakuomba kusema taarifa zako kwa maneno mafupi na Dhahiri iwezekanavyo, kutoa jina lako, mahali uliko, na lugha unayopendelea, na kupakia faili zote husika kama vile picha, video, na hati kuunga mkono taarifa yako. Mwakilishi wa TKM atawasliana nawe hivi karibuni. Tafadhali uwe na Subira, kwa kuwa TKM husoma kila kidokezo tunachopokea.

Tafadhali tembelea idhaa yetu ya kuripotia vidokezo inayotumia mfumo wa TOR katika: he5dybnt7sr6cm32xt77pazmtm65flqy6irivtflruqfc5ep7eiodiad.onion

Skip to content