Tovuti rasmi ya serikali ya Marekani

Abdelbasit Alhaj Alhassan Haj Hamad

Afrika - Chini ya Jangwa la Sahara

Kuhusu

Tuzo kwa Mahakama inaahidi kutoa tuzo ya hadi dola milioni tano kwa taarifa kumhusu Abdelbasit Alhaj Alhassan Haj Hamad. Abdelbasit anasakwa kutokana na jukumu lake kama mmoja wa watu wenye bunduki kwenye mauaji ya John Granville na Abdelrahman Abbas Rahama, wafanyakazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) jijini Khartoum mnamo tarehe mosi Januari, mwaka 2008.(USAID) kule Khartoum mnamo tarehe 1 Januari, 2008.

Mahakama ya Sudani ilisikiliza kesi yake Abdelbasit, ikampata na hatia na kumhukumu kifo mnamo mwaka 2009 kwa kuhusika kwake na mauaji hayo. Hata hivyo, Abdelbasit alitoroka gerezani mnamo tarehe 10 mwezi Juni, mwaka 2010, kabla hukumu yake haijatekelezwa. Mpaka sasa angali mtoro na anaaminika kuwa yuko Somalia.

Mnamo tarehe 8 mwezi Januari mwaka 2013, Abdelbasit alitajwa Gaidi wa Kimataifa Mwenye Sifa Maalumu kuambatana na Amri ya Rais 13224, kama ilivyorekebishwa. Matokeo ya kutajwa huku, miongoni mwa matokeo mengine, mali yote na maslahi ya Abdelbasit katika mali, vyote vilivyoko chini ya mamlaka ya Marekani vimezuiwa, na watu wa Marekani kwa jumla wamekatazwa kushiriki kwenye miamala yoyote na Abdelbasit.

Picha:

Mahali Kunakohusiana:

Somalia, Sudan

Tarehe ya Kuzaliwa:

mwaka 1979; mwaka 1983

Mahali pa Kuzaliwa:

Sudan

Utaifa:

Sudan

Jinsia:

Mwanamume

Rangi ya Nywele:

Nyeusi

Rangi ya Macho:

Kahawia nzito

Lugha Zinazozungumzwa:

Kiarabu; Kiingereza

Lakabu/Tahajia Mbadala za Majina:

Abd al-Basit; Abdelbaset Alhaj Alhassan; Abdel Basit Hag El-Hassan Hag Mohamed; Abd-al-Basit Al-Hadj Hasan; Abdel Basit al-Hajj Hassan

SUBMIT A TIP

Do Your Part. Secure a Safer World.

There are many ways to submit information to Rewards for Justice.

You may choose from multiple platforms and contact us in numerous languages. To process your information efficiently, we ask you to state your information as succinctly as possible, provide your name, location, and preferred language, and upload all relevant files such as photographs, videos, and documents to support your information. An RFJ representative will soon contact you. Please be patient, as RFJ reads every tip we receive.

Please open your Line app to submit a tip. The number is +1 202 702 7843

Please open your Viber app to submit a tip. The number is +1 202 702 7843

Please visit our Tor-based tips-reporting channel at: he5dybnt7sr6cm32xt77pazmtm65flqy6irivtflruqfc5ep7eiodiad.onion

Wasilisha Kidokezi

Fanya Jukumu Lako - Dhamini Ulimwengu Salama Zaidi

Zipo njia nyingi kuwasilisha kidokezo.

Unaweza kuchagua kutoka majukwaa mengi na kuwasiliana nasi katika lugha nyingi.
Kuchakata taarifa yako kwa ufanisi, tunakuomba kusema taarifa zako kwa maneno mafupi na Dhahiri iwezekanavyo, kutoa jina lako, mahali uliko, na lugha unayopendelea, na kupakia faili zote husika kama vile picha, video, na hati kuunga mkono taarifa yako. Mwakilishi wa TKM atawasliana nawe hivi karibuni. Tafadhali uwe na Subira, kwa kuwa TKM husoma kila kidokezo tunachopokea.

Tafadhali fungua programu yako ya Line ili kuwasilisha kidokezo. Nambari hiyo ni +1 202 718 4649

Tafadhali fungua programu yako ya Viber ili kuwasilisha kidokezo. Nambari hiyo ni +1 202 718 4649

Tafadhali tembelea idhaa yetu ya kuripotia vidokezo inayotumia mfumo wa TOR katika: he5dybnt7sr6cm32xt77pazmtm65flqy6irivtflruqfc5ep7eiodiad.onion

Skip to content